Breaking News

Your Ad Spot

Mar 28, 2012

RAZA KUPISHWA LEO BARAZANI

MOHAMMED RAZA
MWAKILISHI  mteule wa Baraza la Wawakilishi jimbo la Uzini, Mohammed Raza Daramsi ataapishwa leo katika kikao cha Barza la Wawakilishi kitakachoanza leo mjini Zanzibar.


Raza ataapishwa kufuatia kuibuka kidedea katika uchaguzi mdogo wa jimbo hilo, uliofanyika mapema mwaka huu na Raza kuibuka na ushindi wa asilimia 61.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages