Breaking News

Your Ad Spot

Mar 2, 2012

JK AMTEUA DK. RUTASITARA NAIBU KATIBU MTENDAJI 'MARCO' TUME YA MIPANGO

                    UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS



Telephone: 255-22-2114512, 2116898
              press@ikulu.go.tz             

Fax: 255-22-2113425


PRESIDENT’S OFFICE,
      THE STATE HOUSE,
              P.O. BOX 9120,  
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Longinus Kyaruzi Rutasitara kuwa Naibu Katibu Mtendaji (MARCO) Tume ya Mipango.

Taarifa iliyotolewa na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Bwana Peniel Lyimo leo, Ijumaa, Februari 2, 2012, Ikulu, Dar es Salaam imesema kuwa uteuzi huo ulianza tokea Februari 20, mwaka huu wa 2012.

Kabla ya uteuzi wake, Dkt. Rutasitara alikuwa Mhadhiri Mwandamizi katika Idara ya Uchumi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
02 Machi, 2012

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages