Breaking News

Your Ad Spot

Apr 30, 2012

CCM YAPATA PIGO S'WANGA, MAHAKAMA YAMVUA UBUNGE AESHI

Mahakama imemvua ubunge, aliyekuwa mbunge wa Sungawanga mjini (CCM) Aeshi Hillary(pichani) mchana huu, kufuatia hukumu iliyotoka dhidi ya kesi ya kupinga matokeo iliyokuwa inamkabili Aeshi ambayo ilifunguliwa na Norbet Joseph Yamsebo wa Chadema mjini Sumbawanga, ambaye alidai kuchakachuliwa matokeo katika uchaguzi huo.
    Katika mashitaka hayo mlalamikaji alidai pia kuwepo utoaji rushwa ikiwemo kutoa kinanda kwa kanisa katoliki.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages