Breaking News

Your Ad Spot

Apr 27, 2012

MBICHI AU MBIVU UBUNGE WA TUNDU LISU LEO

Hukumu ya kupinga matokeo ya Ubunge wa Tundu Lisu wa chama cha CHADEMA pale pande za Singida ni leo. Na habari zilizoufikia mtandao huu ni kwamba, hakimu alichelewa kuingia mahakamani na ndiye alikuwa akisubiriwa kwa hamu. Zaidi peruzi hapa baadaye

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages