Breaking News

Your Ad Spot

Apr 26, 2012

KKKT KUZINDUA JENGO LAKE LA KITEGAUCHUMI JUMAPILI HII


Kanisa la Kiinjili la Kilutehri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mashariki na Pwani, imekamilisha ujenzi wa jengo lake la Kitegauchimi ambalo ujenzi wake umegharimu sh. bilioni 3.5.
     Jengo hilo lililoanza kujengwa mwaka 2009 katika eneo la Kijitonyama, Dar es Salaam, litazitazinduliwa Jumapili hii, Aprili 29, mwaka huu na litaitwa Kijitonyama Lutheran Centre (KLC).   Pichani, baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya uzinduzi, wakiwa kwenye jengo hilo leo akiwemo Mchungaji wa Usharika wa wa Kijitonyama, Ernesti Kadiva.


No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages