Breaking News

Your Ad Spot

Apr 10, 2012

MAELFU WAMZIKA KANUMBA DAR


 Mwili wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu hapa nchini, Steven Kanumba ukiwa katika sanduku wakati ukiagwa kwenye Viwanja vya Leaders' Club, Kinondoni, Dar es Salaam.
 Maelfu ya waombolezaji wakjiwa kwenye viwanja vya Leaders kuaga mwili wa marehemu Kanumba
 Baadhi ya ndugu wa marehemu
 Mama wa marehemu Kanumba akiwa kwenye Viwanja vya Leaders
 Katibu wa NEC, Itukadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akiingia kwenye viwanja vya Leaders kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Kanumba
 Waombolezaji wakiwa wamepoteza fahamu wakati wa kuaga mwili wa Kanumba
 Kutokana na wingi wa waombolezaji ilibidi wengine wapande kwenye miti kujaribu kuuona mwili wa Kanumba
Polisi wa farasi wakiimarisha ulinzi kwenye eneo la Leaders

1 comment:

  1. На продаже приборов для контроля веществ в различных средах специализируется наша организация. У нас всегда можно купить газоанализаторы, кондуктометры, концентратомеры, плотномеры и pH-электроды. В своей работе мы делаем основной упор на работу с конечным потребителем. Доставка товаров производится по всей России. Заходите на сайт, выбирайте и заказывайте!

    Gzoanalisator.Ru: [url=http://gazoanalisator.ru]газоанализатор Ока
    [/url]

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages