Breaking News

Your Ad Spot

Apr 29, 2012

SIMBA YACHAPA AL AHLY SHANDY TATU BILA

Wachezaji wa Simba na kocha wao wakishangilia baada ya filimbi ya mwisho kulia timu hiyo ikiwa imeitandika mabao 3-0 timu ya Al Ahly Shandy ya Sudan, katika mechi ya Kombe la Shirikisho, kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo. Simba imepata mabao yote katika kipindi cha lala salama na kutoka kifua mbele katika mchezo huo wa kwanza kabla ya ule wa marudiano utakaopigwa Sudan, wiki mbili zijazo. Walioifungia mabao hayo Simba ni Patrick Mafisango, Uhuru Selemani na Emmanuel Okwi.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages