Breaking News

Your Ad Spot

Apr 1, 2012

UCHAGUZI ARUMERU:CHADEMA YAANZA KUONGOZA VITUO VYA MIJINI

Wakati upigaji kura ukiwa umemalizika tangu saa kumi kamili jioni hii, matokeo yaliyoanza kubandikwa yanaonyesha kuwa CHADEMA inaongoza katika vituo kadhaa vya mjini ikiwemo eneo la Liganga walikoweka kambi yao wakati wa kampeni. Taarifa zaidi zitanedelea kuja baadaye

1 comment:

  1. Vp hadi sasa bado hujapata matokeo? ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages