Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Ludovick Utouh, akifafanua jambo wakati wa mazungumzo yake na Naibu Katibu Mkuu, Asha- Rose Migiro. Bw. Utouh akiongoza ujumbe wa watu watatu kutoka Ofisi yake alikuwa hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa kwa Ziara ya Kikazi ikiwa ni sehemu ya Maandalizi ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu kuingia kwenye Bodi ya Wakaguzi ya Umoja wa mataifa kuchukua nafasi inayoachwa wazi na Afrika ya Kusini. Tanzania inaingia kwenye Bodi hiyo mwezi Julai mwaka huu.
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269