Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia mazingira Dk. Terezya Huvisa. Akizungumza na Balozi wa Brazil, Nchini Tanzania, Comoro na Seychelles Bw. Francisco Carlos Joares Luz. Ofisini kwake mjini Dar es Salaam, leo. Mazungumzo hayo yalihusu maandalizi ya Mkutano wa Kimataifa wa Rio +20. Picha na Ali Meja.
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269