Breaking News

Your Ad Spot

Jun 9, 2012

CCM ILIVYOFUNIKA JANGWANI LEO

 Vijana wakishangilia kwenye mkutano wa CCM uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam.
 Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe akihutubia
 Waziri wa Ujenzi Dk. John Magufuli akihutubia
 Waandishi wa habari wakiwa kazini kwenye mkutano huo
 Watangazajai wa TBC1 wakiwa live kwenye mkutano huo
 Vijana wakichangamka kurudisha kadi za Chadema mbele ya Nape na Kinana
 Mamia ya kadi za vyama vya upinzani zilizorudishwa
 Nape akichaza gita na bendi ya Vijana Jazz
 Viongiozi wa CCM waliohudhuria mkutano huo
 Chege akitumbuiza 
 Nape akifuatilia mambo yanavyokwenda kwenye mkutano huo
 Wana CCM wakiserebuka kwa furaha kwenye mkutano huo
 Wana CCM wakishangilia kwa furaha
 Mamia ya wananchi wakiwa kwenye mkutano huo
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nauye akihamasisha kwenye mkutano huo, Kushoto ni Mlezi wa mkoa wa Dar, Abdulrahman Kinana.
 Baadhi ya mabango
 Baadhi ya mabango
 Baadhi ya mabango
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Stephen Wasira Uratibu na mahusiano, akizungumza kwenye mkutano huo
Waziri wa Ardhi Profesa  Anna Tibaijuka akihutubia

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages