Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, akimkabidhi trekta, Diwani wa Kata ya Kwadelo, wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma, Alhaj, Omary Kariati, kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Trekta hiyo ambayo imenunuliwa kutoka Suma J KT, ni kwa ajili ya Chama Cha Maendeleo ya Kata hiyo ya Kwadelo chini ya Kwadelo Ward Development Commitee (KWDC).
Diwani wa Kata ya Kwadelo, Alhaji Omary Kariati, akilijaribu trekta baada ya kukabishiwa na Mukama (kushoto).
Mukama akizungumza baada ya makabidhiano hayo.
Your Ad Spot
Jun 13, 2012
Home
Unlabelled
KATIBU MKUU WA CCM, AKABIDHI TREKTA KWA WAKULIMA WA KWADELO,KONDOA
KATIBU MKUU WA CCM, AKABIDHI TREKTA KWA WAKULIMA WA KWADELO,KONDOA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269