Breaking News

Your Ad Spot

Jun 21, 2012

KUTOKA IRINGA MJINI

 Mji wa Iringa ukiwa eneo la Posta
 Mama akiwa amebeba mzigo wa kuni alizoshuka nazo kwenye basi mjini Iringa. Kuni za kupikia Mamalishe
 Kondakta akiwa amemkalia binti kwenye daladala akati likitoka eneo la Ilula kwenda katikati ya mji
 Kituo Kikuu cha mabasi mjini Iringa kipo bizee
Blogger mkazi wa mjini Iringa, Francis Godwin akinunua gazeti

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages