Breaking News

Your Ad Spot

Jun 20, 2012

PAMBANO LA NGUMI LA MIYEYUSHO LAYEYUKA

Pambano la masumbwi kati ya bondia Francis Miyeyusho na  mmalawi John Massamba lililokuwa lifanyike ijumaa. limeahirishwa mpaka hapo tarehe itakapotajwa tena kuwa Miyayusho atacheza na nani, lini na wapi.Habari zaidi BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages