Breaking News

Your Ad Spot

Jun 25, 2012

NAPE KATIKA MAHAFALI YA WANA-CCM TAWI LA CHUO KIKUU CHA TEKU, MBEYA

 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na viongozi wa  CCM mkoa wa Mbeya baada ya kuwasili leo asubuhi kwa ajili ya ziara ya siku mbili mkoani humo.
 Nape akiongozwa na vijana wa Chipukizi wa CCM, baada ya kuwasili mjini Mbeya kuanza ziara hiyo.
 Nape akiwasalimia baadhi ya viongozi na wanachama wa CCM tawi la Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) Mbeya alipokwenda hoteli ya Paradise kuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya wana-CCM hao
 Nape akishiriki kucheza muziki wa kwaito na wana-CCM tawi hilo la TEKU
 Wana-CCM tawi la TEKU wakimshangilia Nape ukumbini
 Katibu wa Vijana wa UVCCM mkoa wa Mbeya Ramadhabi Kizinga akihamasiha wakati wa sherehe hiyo ya mahafali
 Katibu wa uchumi na Fedha tawi la CCM TEKU, Eliwasa Wawa akisoma taarifa ya tawi hilo
 Wana-CCM wakila kiapo pamoja na wanachama wapya kwenye mahafali hayo
 Nape akizungumza na wahitimu na wanachama hao
 Nape akimkabidhi kadi ya CCM, mmoja wa wanachama wapya waliopewa kadi wakati wa mahafali hayo
 Nape akiibusu picha yake baada ya kuzawadiwa na wana-CCM tawi la TEKU
 Kisha akaiangalia picha hiyo kwa makini
Hivi ndivyo walifanya kabla ya kumkabidhi picha hiyo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages