Breaking News

Your Ad Spot

Jun 12, 2012

OFISINI KWA RAIS JAKAYA KIKWETE LEO

 Rais Jakaya Kikwete akimwapisha, Katibu Tawala mpya wa mkoa wa Ruvuma, Hassan Mpapi Bendeyeko, Ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Taaluma za Kiswahili TATAKI Dk. Aldin Mutembei akimkabidhi Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete kitabu cha kwanza cha fasihi simulizi ya Jamii ya Wakwere, Ikulu jijini Dar es Salaam leo.Kulia ni Mkuu wa Idara ya historia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Kapepwa Tambila. Dk.Mutembei ambaye pia ni mchapishaji na msimamizi wa tafiti za tamaduni lugha na fasihi za makabila ya Tanzania alikabidhi pia kamusi Asisi ya Kiingereza-Kiswahili na Kiarabu: Picha na Freddy Maro

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages