Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Mbunge wa Sengerema William Ngeleja, na Naibu Waziri wa zamani wa Uchukuzi, mbunge wa Igalula, Athumani Mfutakamba wakiwa na mbunge wa kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete, James Mbatia, ambaye alikuwa mgombea Ubunge jimbo la Kawe katika uchaguzi mkuu uliopita. Njeleja na Mfutakamba walikuwa wakimpongeza Mbatia baada ya kuapishwa leo Bungeni mjini Dodoma. Watoto ni familia ya Mbatia.
Your Ad Spot
Jun 12, 2012
Home
Unlabelled
NGELEJA, MFUTAKAMBA WAMPONGEZA MBATIA
NGELEJA, MFUTAKAMBA WAMPONGEZA MBATIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
asante kwa kutumia picha yangu ya mbatia, ngeleja na mfutakamba. kumbe na mimi wamo eeehh!
ReplyDeletefrom noor shija, dodoma