Breaking News

Your Ad Spot

Jun 23, 2012

RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA ALIYEKUWA MKUU WA UTAWALA MAKAO MAKUU YA CCM

 Mwenyekiti wa CCM,Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akitia saini katika kitabu cha maombolezo nyumbani kwa aliyekuwa Mkuu wa Utawala CCM Makao Makao Makuu mjii Dodoma,  marehemu Mwangunza  Kinyamagoha,  nyumbani kwa marehemu  mjini Dodoma jana. Marehemu amefariki dunia hivi karibuni.
Rais Kikwete akiifariji familia ya Marehemu Kinyamagoha nyumbani kwake mjini Dodoma jana kabla ya kurejea jijini Dar es Salaam. (Picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages