Pia TASWA na Serengeti watatangaza zawadi ya mshindi wa jumla wa tuzo hiyo kwa mwaka 2011, ambapo sherehe zitafanyika Juni 14 mwaka huu ukumbi wa Diamond Jubilee (VIP), Dar es Salaam.
Pia Alhamisi ya Juni 7, Kamati ya Tuzo itatangaza majina ya wanamichezo watakaowania tuzo hiyo kwa kila chama, hivyo usikose mahali patakuwa hapohapo na muda utakuwa huohuo.
Naomba mjulishe na mwenzako kuhusiana na mkutano huo na nakukaribisha sana.
Amir Mhando
Katibu Mkuu TASWA/ Katibu Kamati ya Tuzo ya Wanamichezo Bora
Reply to allKatibu Mkuu TASWA/ Katibu Kamati ya Tuzo ya Wanamichezo Bora
Forward
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269