Breaking News

Your Ad Spot

Jul 10, 2012

KAMATI YA BUNGE YA NUU YAMALIZA ZIARA YAKE NEW YORK


Na Mwandishi Maalum.New York
Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya  Nje, Ulinzi na Usalama ( NUU) Mhe. Edward Lowassa (pichani), amewaasa Maafisa wa Ubalozi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania katika Umoja wa Mataifa,  kutotetereka wala kuyumba  pale inapowapasa kutoa misimamo kwa maslahi ya  nchi yao.
Ametoa wasia  huo  wakati alipokuwa akitoa majumuisho ya ziara ya kamati yake, ziara ambayo pamoja na mambo  mengine ililenga kujifunza na kujionea hali hali ya mazingira ya utendaji kazi ya maafisa wanaoiwakilisha  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa.
 Akimnukuu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Mhe. Lowassa alikuwa na haya ya kusema. HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages