Breaking News

Your Ad Spot

Jul 4, 2012

MZEE MWINYI AKABIDHI MA-TREKTA KWA WAKULIMA WA KWADELO, WILAYA YA KONDOA

Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Alhaji Ali Hassani Mwinyi akimkabidhi funguo za trekta,  Mwenyekiti  wa Kijiji  cha Makilinya, Siraji Abdallah Mahingu, alipokabidhi trekta tatu kwa wakulima wa Kata ya Kwadelo, Kondoa mkoani Dodoma leo, hafla iloyofanyika nyumbani kwake, Masasani, Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Diwani wa Kata ya Kwadelo, Alhaji Omari Kariate Picha zaidi BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages