Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mheshimiwa Joel Nkaya Bendera kuomboleza kifo cha Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kilosa, Alhaj Shaweji Abdallah, ambaye pia alipata kuwa mjumbe wa miaka mingi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi.
Katika salamu zake kufuatia hicho INAENDELEA
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269