Breaking News

Your Ad Spot

Jul 29, 2012

RAIS AOMBOLEZA KIFO CHA MBUNGE WA ZAMANI WA KILOSA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mheshimiwa Joel Nkaya  Bendera kuomboleza kifo cha Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kilosa, Alhaj Shaweji Abdallah, ambaye pia alipata kuwa mjumbe wa miaka mingi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi.
Katika salamu zake kufuatia hicho
INAENDELEA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages