Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wa Umoja wa Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu nchini (TAHLISO) walipomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam siku ya jana, Julai 4, 2012. Viongozi hao walikuwa wakihudhuria kongamano la mabadiliko ya katiba lililokuwa linafanyika katika ukumbi wa Karimjee.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269