Breaking News

Your Ad Spot

Jul 31, 2012

USHIRIKI WA KUTOA MAONI KATIBA MPYA

Bw. Khamis Said Abdalla (47), mkazi wa Shehia ya Madungu, Wilaya ya Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba, ambae ni mlemavu, akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba uliofanyika katika Shehia hiyo hivi karibuni. (Picha na Othman Maulid)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages