Yanga imefanikiwa kulitwaa tena Kombe la Kagame mwaka huu wa 2012, na hivyo kuutetea ubingwa wa kombe hilo iliokuwa inaushikilia. Imefanikiwa kuutwaa ubingwa leo baada ya kuifunga Azama FC, katika mechi ya fainali kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Mabao ya Yanga yamefungwa na Hamis Kiiza katika kipindi cha kwanza na Saidi Bahanuzi kipindi cha pili.
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269