Breaking News

Your Ad Spot

Aug 20, 2012

SWAGA ZA KIJANA WA KIMASAI

KIJANA wa Kimasai, akimlipa nauli mwendesha pikipiki baada ya kufikishwa eneo la Kawe Kanisani jijini Dar es Salaam, leo mida ya mchana. Kilichonivutia zaidi ni namna alivyosheheni 'zana' kiunoni, wewe unasemaje mdau?

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages