Breaking News

Your Ad Spot

Aug 30, 2012

TBL YAFANYA MKUTANO WA MWAKA NA WANAHISA WAKE

 Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Waziri Mkuu wa zamani Cleopa Msuya akizungumza, baada ya mkutano mkuu wa 39 wa mwaka Agosti 30, 2012, katika hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Kempinski Regency jijini Dar es Salaam. Wengine katika picha kutoka kushoto ni Mjumbe wa Bodi ya TBL,  Raphael Mollel, Mkurugenzi wa Mahusiano na Sheria TBL Steve Kilindo na Mkurugenzi Mtendaji wa TBL,   Robin  Goetzsche.
 MWENYEKITI wa Bodi ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Waziri Mkuu wa zamani Cleopa Msuya akikifafanua jambo wakati wa mkutano mkuu wa 39 wa mwaka Agosti 30, 2012, katika hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Kempinski Regency jijini Dar es Salaam. Wengine, kutoka kushoto ni Mjumbe wa Bodi ya TBL,  Raphael Mollel, Mkurugenzi wa Mahusiano na Sheria TBL Steve Kilindo na Mkurugenzi Mtendaji wa TBL,  Robin  Goetzsche na kulia ni Mjumbe wa Bodi Arnold Kilewo na Mkurugenzi wa Fedha TBL,  Kelvin O'Flaherty
Mwenyekiti wa Bodi ya TBL, Cleopa Msuya akitoka ukumbini baada ya mkutano huo
 Mwenkiti wa Bodi ya TBL Cleopa Msuya akimweleza jambo Mkurugenzi Mtendaji wa TBL Goetzsche nje ya ukumbi baada ya mkutano huo
 Meneja Uhusiano wa TBL  Editha Mushi akimshauri mmoja wa mabosi wa TBL
Mwenyekiti wa Bodi ya TBL Cleopa Msuya na Viongozi wa TBL wakiwa katika picha na Wanahisa wa kampuni hiyo baada ya mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages