Breaking News

Your Ad Spot

Sep 22, 2012

NAPE AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MJINI DODOMA LEO


Katibu wa Nec,Itikadi na Uenezi Taifa wa CCM,Nape Nnauye,alipokuwa akizungumza na Waandishi wa habari leo kuhusu Kufanyika kwa Vikao vya juu vya Chama hicho katika Ukumbi wa White House mjini
Dodoma,vikijadili majina ya wagombea nafasi mbali mbali zikiwemo,Uwenyekiti wa Wilaya na Mikoa na Ujumbe wa Halamashauri Kuu ya Taifa. [ Picha na Ramadhan Othman,Dodoma.]

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages