Breaking News

Your Ad Spot

Oct 28, 2012

HERIETH MAKOMBE AHITIMU SHAHADA YA UZAMILI

Jana ilikuwa siku ya furaha kwa Herieth Makombe alipohitimu na kutunukiwa Shahada ya uzamili ya uchumi na Maendeleo ya jamii kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, wakati wa mahafali yaliyofanyika Viwanja vya Kibaha mkoa wa Pwani pamoja na naye ni mhitimu mwenzake Caroline Henrich

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages