
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa, amevunja rekodi kwa kuzoa kura nyingi zaidi kuliko wagombea wengine wote katika Uchaguzi wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) uliofanyika juzi mjini Dodoma, baada ya kutetea nafasi yake ya Ujumbe wa NEC kupitia UVCCM kwa kupata kura 501. Pichani, Silaa (aliyesimama) akizungumza baada ya uchaguzi huo.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269