Breaking News

Your Ad Spot

Oct 26, 2012

JERRY SILAA MGOMBEA ALIYEVUNJA REKODI YA KUPATA KURA NYINGI UCHAGZI UVCCM


Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa, amevunja rekodi kwa kuzoa kura nyingi zaidi kuliko wagombea wengine wote katika Uchaguzi wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) uliofanyika juzi mjini Dodoma, baada ya kutetea nafasi yake ya Ujumbe wa NEC kupitia UVCCM kwa kupata kura 501. Pichani, Silaa (aliyesimama) akizungumza baada ya uchaguzi huo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages