Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni akimpongeza, Khamis Sadifa Juma baada ya kutangazwa kuwa Mwenyekiti Mpya wa Umoja wa Vijana wa CCM UVCCM, leo mjini Dodoma, kufuatia uchaguzi uliofanyika jana. Picha na Bashir Nkoromo wa Daily Nkoromo Blog
KHAMIS SADIFA JUMA MWENYEKITI MPYA UVCCM
Wednesday, October 24, 2012
IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 Comments:
Post a Comment