Breaking News

Your Ad Spot

Oct 24, 2012

KHAMIS SADIFA JUMA MWENYEKITI MPYA UVCCM

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni akimpongeza, Khamis Sadifa Juma baada ya kutangazwa kuwa Mwenyekiti Mpya wa Umoja wa Vijana wa CCM UVCCM, leo mjini Dodoma, kufuatia uchaguzi uliofanyika jana. Picha na Bashir Nkoromo wa Daily Nkoromo Blog

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages