KHAMIS SADIFA JUMA MWENYEKITI MPYA UVCCM

Wednesday, October 24, 2012

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni akimpongeza, Khamis Sadifa Juma baada ya kutangazwa kuwa Mwenyekiti Mpya wa Umoja wa Vijana wa CCM UVCCM, leo mjini Dodoma, kufuatia uchaguzi uliofanyika jana. Picha na Bashir Nkoromo wa Daily Nkoromo Blog

0 Comments: