Breaking News

Your Ad Spot

Oct 23, 2012

NAPE AWA KIVUTIO MKUTANO MKUU WA UVCCM

Katibu wa Halmashauri Kuu yabTaifa, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akicharaza gita zito la besi wakati bendi ya Vijana Jazz ilipokuwa ikiimba wimbo maalum katika Mkutano Mkuu wa nane wa Umoja wa Vijana wa CCM, kwenye Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, mkoani Dodoma leo. Habari Kamili BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages