Breaking News

Your Ad Spot

Oct 20, 2012

NI SOPHIA SIMBA TENA UWT

MWWENYEKITI wa Jumuia ya Wanawake Tanzania (UWT) aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo muhula uliopita, Waziri Sophia Simba amefanikiwa kukitetea  kiti hicho, kufuatia duru za uchaguzi mkuu wa Jumuia hiyo uliofanyika leo mjini Dodoma, kuonyesha kuwa ameshinda.

Habari zinasema, katika uchaguzi huo uliosimamiwa na viongozi mahiri akiwemo Katibu Mkuu wa CCM, Wilison Mukama na  Mjumbe wa NEC wa zamani Abdulrahman Kinana, Simba ametajwa kuongoza  kwa kura nyingi dhidi ya mpinzani wake wa karibu, Anne Kilango Malecela. TUTAWALETEA MATOKEO KAMILI TUKIYAPATA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages