Breaking News

Your Ad Spot

Oct 19, 2012

TANZANIA YAISHAURI ICC KUJIEPUSHA NA USHAWISHI WA KISIASA

 Balozi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Tuvako Manongi akizungumza wakati wa mjadala wa wazi ulioandaliwana Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa na kufunguliwa na Katibu Mkuu Ban Ki Moon. Mjadala huo ulihusu uhusiano kati ya Amani na Haki na Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ( ICC)
Wajumbe wa Baraza Kuu la  Usalama la Umoja wa Mataifa wakiwa kwenye kikao chake cha wazi kujadili uhusiano kati ya  Amani, Haki na Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai. (ICC). HABARI KAMILI BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages