Breaking News

Your Ad Spot

Nov 23, 2012

KINANA ATUA TABORA KWA MUDA AKITOKEA RUKWA KWENDA GEITA ASUBUHI HII

 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akikaribishwa na Mkuu wa mkoa wa Tabora, Fatma Mwassa baada ya kutua kwa muda mkoani hapo akiwa njiani kutoka Rukwa kwenda Geita asubuhi hii. pamoja naye ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye, Katibu wa  NEC Oganaizesheni Muhammed Seif Khatib na Naibu Waziri TAMISEMI Aggrey Mwanri
 Kinana akimsalimia Mkuu wa wilaya ya Uyui Lucy Mayenga baada ya kutua kwa muda mkoani Tabora. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Tabora Fatma Mwasa
Mwassa bakitoa maelezo kwa Katibu Mkuu kwenye chumba cha mapumziko. Kinana akipumzika hapo kwa dakika 30 kabla ya kuondoka kwenda Geita kuendelea na ziara ya kikazi

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages