Breaking News

Your Ad Spot

Nov 23, 2012

ZIARA YA DK. SHEIN VIETNAM

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto)m akizungumza na Makamo wa Rais wa Vietnam Bibi Nguyen Thi Doan,alipofika Ikulu kwa Mazungumzo ya Uhusiano na Mashirikiano baina pande mbili hizo,Rais akiwa katika ziara maalum ya kiserikali nchini humo,[Picha na Ramadhan Othman Vietnam.]

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages