Breaking News

Your Ad Spot

Nov 4, 2012

YANGA YANG'AA DAR 2-0, SIMBA YALIZWA MORO 2-0


Katika mechi zilizopigwa kwenye Viwanja Tofauti, zikihusisha timu za Yanga na Simba, zimemalizika huku Yanga wakichekelea baada ya kupata mabao 2-0 dhidi ya  Azam katika mechi ya timu hizo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Lakini kwa upande wa Simba iliyokuwa ikinyukana na Mtibwa imesababisha mashabiki wake kunyong'onyea baada ya kupata kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Wakata miwa wa Mtibwa al maarufu Mtibwa Sugar, katika mechi ya timu hizo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages