Breaking News

Your Ad Spot

Dec 8, 2012

MKUTANO WA SADC LEO JIJINI DAR ES SALAAM


Rais Jakaya Kikwete, akikaribisha viongozi wenzie wa nchi za SADC katika  kikao cha dharura cha Jumuiya hiyo katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo Desemba 8, 2012

Rais Jakaya Kikwete, Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini, Rais Hifikepunye Pohamba wa Namibia na Katibu Mkuu wa SADC Dk.Tomaz Salomao pamoja na Mawaziri wa nchi hizo wakipitia rasimu ya muhtasari wa kikao kabla ya kuanza kwa kikao cha dharura cha Jumuiya hiyo katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo Desemba 8, 2012
 Rais Jakaya Kikwete, katika picha ya pamoja na  viongozi wenzie wa nchi za SADC katika  kikao cha dharura cha Jumuiya hiyo katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo Desemba 8, 2012. PICHA ZOTE NA IKULU, DAR ES SALAAM,TANZANIA.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages