Breaking News

Your Ad Spot

Dec 8, 2012

SIKU YA MSAADA WA KISHERIA TANZANIA

 Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mh: Angellah Kairuki akihutubia katika maadhimisho ya siku ya msaada wa kisheria Tanzania inayoadhimishwa leo tarehe 8/12/12 katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar Es Salaam. Wananchi mbalimbali watapata msaada bure kutoka kwa wanasheria wa hapa nchini. Kauli mbiu ya siku hii ni 'Msaada wa kisheria ni haki ya Binadamu na ya Kikatiba'
 Fortunata Kitokesya wakili kutoka chuo kikuu cha Dar Es Salaam akimshukuru Mh. Kairuki baada ya Hotuba yake katika siku ya msaada wa kisheria viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam leo (8/12/12).
Baadhi ya Wananchi na Mawakili waliohudhuria maadhimisho ya siku ya msaada wa kisheria Tanzania wakimsikiliza mgeni rasmi katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam. Picha kwa hisani ya mdau, Farida Khalfan, Information Officer, Ministry of Constitutional and Legal Affairs,
Mkwepu Street/Sokoine Drive, PO Box 70069, Dar es Salaam. Office Tel: +255 (0)22 2137823
Mobile: +255 (0) 658 270460, Email: khalfanfarida@yahoo.com, Website: www.sheria.go.tz

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages