Breaking News

Your Ad Spot

Jan 31, 2013

KINANA AINGIA KIBONDO KWA KISHINDO

 Wananchi wa Kijiji cha Kilemba wilayani Kibondo mkoani Kigoma, wakiserebuka kwa ngoma mbele ya Katibu Mkuu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wapili kushoto) na ujumbe wake, alipoowasili kwenye kijiji hicho nje kidogo ya mji mdogo wa Kibondo leo asubuhi. Kushoto ni Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Bulembo na watatu ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk. Amani Kaborou.
 Msafara wa Kinana ukiingia mjini Kibondo kwa shamrashamra za aina yake. (PICHA NA BASHIR NKOROMO)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages