Breaking News

Your Ad Spot

Jan 31, 2013

MATUKIO KIGOMA

 Mtoto akitafuta wateja wa miwa kwenye stesheni ya Kazutramimba mkoani Kigoma, hivi karibuni
 Ally Bikulako mkazi wa Nguruka wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma, akiwa katika kazi ya ufundi wa kuchora bango la shule ya sekondari ya Nguruka, hivi karibuni.
 Mamalishe wakiwa kazini katika kijiji cha Nguruka, wilayani Uvinza mkoani Kigoma hivi karibuni.
 Mafundi wakiwa katika ujenzi wa nyumba ya kisasa katika Kijiji cha Kasanda, wilayani Kakonko mkoani Kigoma juzi.
 Watoto wakichota maji safi ya bomba kwenye kijiji cha Nyabibuye, Kakonko mkoani Kigoma jana.
 Belitha Anthoy wa Kijiji cha Lumashi, Kata ya Nyabibuye, Kakonko mkoani Kigoma akichoma mahindi, nyumbani kwao, jana. Huu ni msimu wa mahindi mabichi Kigoma
 Mtoto akiswaga mbuzi aliokuwa anachunga katika kijiji cha Malagarasi, wilayani Uvinza mkoani Kigoma, juzi.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages