*RWIZA, LIUNDA KUSIMAMIA MECHI ZA CAF
*WATANZANIA KUZICHEZESHA URA, COTTON SPORT
*KIM AZIFUATA IVORY COAST, MOROCCO AFCON
*WATANZANIA KUZICHEZESHA URA, COTTON SPORT
*KIM AZIFUATA IVORY COAST, MOROCCO AFCON
Boniface Wambura |
NA BONIFACE WAMBURA, OFISA HABARI, TFF
Wanamichezo 45 wamechukua fomu kuwania nafasi mbalimbali za uongozi
katika uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
utakaofanyika Februari 24 mwaka huu. Nafasi zinazowaniwa ni Rais, Makamu
wa Rais na wajumbe wa Kamati ya Utendaji kuwakilisha kanda 13 tofauti.
Waombaji wapya 11 waliojitokeza leo (Januari 18 mwaka huu) ni Richard Rukambura anayeomba urais wakati kwa upande wa ujumbe wa Kamati ya Utendaji ni>>>BOFYA HAPA
Waombaji wapya 11 waliojitokeza leo (Januari 18 mwaka huu) ni Richard Rukambura anayeomba urais wakati kwa upande wa ujumbe wa Kamati ya Utendaji ni>>>BOFYA HAPA
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269