Maofisa wa Polisi wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa Mrakibu Mwandamizi wa Polisi EX SSP Hawa Luzy aliyefia Darfur Sudan alipokuwa amekwenda kwa ajili shughuli za ulinzi wa amani katika jimbo hilo.Ofisa huyo alizikwa jana katika makaburi ya Kisutu. (Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269