Breaking News

Your Ad Spot

Feb 25, 2013

BALOZI WA MSUMBIJI KUJITAMBULISHA KWA RAIS DK.SHEIN,LEO


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Msumbiji nchini Tanzania Dr.Vicente Mebunia Veloso,aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili  ya kujitambulisha kwa Rais, leo.[Picha na Ramadhan Othman,IKulu.]

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages