Breaking News

Your Ad Spot

Feb 4, 2013

BUNGENI LEO NA MWANAKOMBO JUMAA

 Waziri wa Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akifafanua hoja ya Serikali ya Mfuko wa  Mikopo kwa Vijana  leo Bungeni mjini Dodoma.
 Wabunge Ester Bulaya (Viti maalumu ) na  Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (Kikwajuni) kulia wakielekea ndani ya Ukumbi wa Bungeleo Dodoma.
 Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Job Ndugai akitoa miongozo mbalimbali Bungeni leo.
 Wabunge  Hamis Kigwangala(Nzega) pamoja na Juma Nkamia(kushoto)  Kiondoa Kusini- wakiunga mkono Bungeni leo.
Mbunge wa (Ubungo) John Myika akiwasilisha hoja binafsi juu ya kuboresha upatikanaji wa maji safi na ushughulikiaji wa maji taka katika jiji la Dar es salaam Bungeni leo.PICHA ZOTE NA MWANAKOMBO JUMAA- MAELEZO.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages