Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji leo jioni Waziri wa TAMISEMI Hawa Ghasia kufuatia msiba wa baba yake mzazi Abdulrahman Ghasia uliotokea jana Kijiji cha Naumbu mkoani Mtwara.
Baadhi ya waombolezaji waliofuatana na Mama Salma Kikwete wakimfariji Hawa Ghasia kwenye msiba huo
Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa Baba Mzazi wa Waziri Hawa Ghasia, Marehemu Abdulrahman Ghasia leo wakati Mama Kikwete akipoenda kumpa pole waziri huyo
Chakula kikigawiwa kwa waombolezaji walkiohudhuria msiba huo.
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot




No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269