Breaking News

Your Ad Spot

Feb 26, 2013

MISUMARI INAPOUZWA PAMOJA NA VYAKULA DUKANI

TEMBEA UONE! Wadau hivi karibu mwenzenu nilishangaa kukuta misumari (kushoto) ikiuzwa pamoja na bidhaa za kula kama haya maharage kwenye duka moja lililopo mji wa Kikwetu, wilaya ya Lindi mjini hivi karibuni. Je, hii si hatari? Maana mteja anaweza kutahamaki amepika mseto wa maharage na misumari iliyoingia kwa bahati mbaya wakati mwenye duka anampimia kwenye mzani!

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages