Breaking News

Your Ad Spot

Feb 26, 2013

WANNE WADAKWA TUKUYU,WAKIIBA KWENYE ATM ZA NMB

Benki ya NMB inazidi kuwa katika balaa baya na la kutia hofu kwa usalama wa fedha za wateja. Taarifa zinasema  Watu wanne wamekamatwa wakiwa na kadi za ATM 150 za NMB kwenye tawi la Tukuyu mkoani Mbeya. Inadaiwa tayari walishakwapua milioni sh. 20. Wenye account huko kuweni makini. Chanzo-Radio One breaking news

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages