Benki ya NMB inazidi kuwa katika balaa baya na la kutia hofu kwa usalama wa fedha za wateja. Taarifa zinasema Watu wanne wamekamatwa wakiwa na kadi za ATM 150 za NMB kwenye tawi la Tukuyu mkoani Mbeya. Inadaiwa tayari walishakwapua milioni sh. 20. Wenye account huko kuweni makini. Chanzo-Radio One breaking news
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269