Breaking News

Your Ad Spot

Mar 7, 2013

TRA YAWAPA SEMINA WAJASIRAMALI WA MKOA WA KIKODI WA TEMEKE LEO

 Meneja wa Mamlaka ya Mapato (TRA) mkoa wa Kikodi wa Temeke, Victor Msuya akifafanua jambo wakati wa semina ya wajasiriamali wa mkoa huo, iliyoandaliwa na TRA, katika ukumbi wa EPZA, katika viwanja vya Maonyesho ya Sabasaba, Barabara ya Kilwa, Dar es Salaam.
 Mkadiriaji Mkuu wa Kodi kutoka TRA, Lovel Mwanri akitoa mada kuhusu changamoto wa ukusanyaji kodi, wakati wa semina hiyo.
 Washiriki wakiwa kwenye semina hiyo
Viongozi kutoka TRA na Washirika, wakiwa meza kuu wakati wa semina hiyo. NKOROMO BLOG

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages