Breaking News

Your Ad Spot

Apr 29, 2013

BAISKELI INAPOJAZA MZIGO KUPITA KIASI

Mwananchi akikatiza barabara kuu ya Dar es Salaam-Morogoro, eneo la Kibaha, huku akisukuma baiskeli iliyosheheni nyasi kiasi hata cha yeye mwenyewe kukaribia kufunikwa, kama alivyokutwa na mpigapicha wetu jioni hii.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages